Ankal,
picha hizi mbili moja ni mkate wa kawaida (chini) na juu ni mkate kwa yai la jicho la ng'ombe. Ni viitafunwa safi kabisa wakati huu wa mapumziko ya Pasaka, HAPPY EASTER!
Chef Issa
Kwa haya na mengine mengi yahusuyo uandaaji wa mapochopocho baabkubwa tembelea libeneke la Che Issa
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...