Kiukweli kabisa uendeshaji wa namna hii ukiendelea kufumbiwa macho,basi ajali hazitaisha hapa nchini.maana huyu mwenye gari inayoovertake hapa alikuwa akiiona kabisa gari yetu ikija kutokea mbele yake,lakini kwa dharau na kutojali lolote aliamua kuiovertake gari nyingine tena katika sehemu isiyokuwa salama.hii imetokea hivi karibuni katika eneo la Kongowe,Kibaha mkoani Pwani.
Huyu nae anafanya kosa lilelile katika Mlima kana kwamba anamawasiliano na wanaokuja mbele yake.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. HEBU TUANZE DILI NA MKUU WA POLISI KWA WAPIGA PICHA YAANI UKIIPATA YA AINA HII UKAITUMA NA MHALIFU AKIKAMATWA AKAPIGWA FAINI UNAFUNDASHIWA ASILIMIA YAKO ANGALAU 20 HII ITAPUNGUZA SANA AJALI. YAANI POLISI TUISAIDIE IWE NA BLOGU YAO YA KUWEKA PICHA ZA AINA HII NA KILA ANAYEWEKA APEWE IDENTIFICATION NUMBER YAKE NA AACHE SIMU YA KUTUMIWA MPESA. TAJIRIKA NA SAIDI MWEMA KUONDOA UHALIFU - AU MNAONAJE HII WADAU?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...