Waziri wa Kazi na Ajira Mh. Gaundentia Kabaka (Mb) akifungua Baraza la Wafanyakazi wa Wakala wa Usalama na Afya Mahali Pa Kazi (OSHA), mapema leo 25/03/2013, katika ukumbi wa Baraza la Maaskofu Kurasini (TEC) jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya Wafanyakazi wa Wakala wa Usalama na Afya Mahali Pa kazi (OSHA), wakimsikiliza kwa makini Mgeni rasmi Waziri wa Kazi na Ajira Mh. Gaundentia Kabaka (Mb) wakati wa ufunguzi wa Baraza la wafanyakazi katika ukumbi wa Baraza la Maaskofu Kurasini (TEC) jijini Dar es Salaam.
Washiriki wa Baraza la Wafanyakazi wakiwa katika picha ya pamoja na mgeni rasmi Waziri wa Kazi na Ajira Mh. Gaundentia Kabaka.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...