Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk .Ali Mohamed Shein,akisalimiana na Viongozi mbali mbali alipowasili katika uwanja wa Ndege wa Karume Pemba,akiwa katika ziara ya kikazi katika Mikoa ya huko Pemba,akianzia Mkoa wa Kaskazni
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk .Ali Mohamed Shein,akisalimiana na Viongozi mbali mbali na wana CCM,alipowasili katika uwanja wa Ndege wa Karume Pemba,akiwa katika ziara ya kikazi katika Mikoa ya Pemba,akianzia Mkoa wa Kaskazni .
ais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk .Ali Mohamed Shein,akipokea Ripoti ya utendaji kazi ya Mkoa wa Kaskazini Pemba,kutoka kwa Mkuu wa Mkoa huo Dadi Faki Dadi, katika ukumbi wa mikutano wa Jamhuri Hall,akiwa katika ziara ya kikazi katika Mkoa huo iliyoanza jana kwa kutembelea miradi mbali mbali ya maendeleo
Baadhi ya Viongozi na Watendaji wa Ofisi za Mkoa wa kaskazini Pemba wakisikiliza Ripoti ya Utendaji kazi za Mkoa huo mbele ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk .Ali Mohamed Shein,katika ukumbi wa wa mikutano wa Jamhuri Hall, akiwa
katika ziara ya kikazi katika Mkoa huo.
Wajumbe wakisikiliza Ripoti ya Utendaji kazi za Mkoa huo mbele ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk .Ali Mohamed Shein
Baadhi ya Viongozi na Watendaji wa Ofisi za Mkoa wa kaskazini Pemba wakisikiliza Ripoti ya Utendaji kazi za Mkoa huo mbele ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk .Ali Mohamed Shein,katika ukumbi wa wa mikutano wa Jamhuri Hall, akiwa katika ziara ya kikazi katika Mkoa huo
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...