Balozi wa Tanzania nchini Ubelgiji Dr. Diodorus Buberwa Kamala (mwenye tai ya bendera ya taifa) akiwa katika picha ya Pamoja na Wanachuo kutoka Tanzania wanaosoma Chuo Kikuu cha Ghent nchini Ubelgiji. Balozi Kamala yuko kwenye ziara ya kikazi ya kukutana na Watanzania katika eneo lake la uwakilishi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...