Balozi wa Tanzania Jumuiya ya Ulaya,Dr. Diodorus Kamala akisalimiana na Mwendesha Mashitaka Mkuu wa Mahakama ya Kimataifa ya Yugoslavia Mhe. Serge Brammertz wakati alipomtembelea ofisini kwake.
Balozi wa Tanzania Jumuiya ya Ulaya Dr. Diodorus Kamala (Mwenye miwani) akiwa na Katibu Mkuu wa Mahakama ya Kudumu ya Usuluhishi Mhe. Hugo Siblesz
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...