Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akiifungua Semina ya siku moja ya Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar kuhusu uimarishaji wa Jeshi la Polisi Tanzania iliyofanyika katika ukumbi wa Juu wa Baraza la Wawakilishi Mbweni Nje kidogo ya Mji wa Zanzibar.

Baadhi ya Wajumbe wa Baraza la Wawakili wakisikiliza Hotuba ya mgeni rasmi Balozi Seif katika semina ya Wajumbe hao kuhusu maboresho ya Jeshi la Polisi Tanzania iliyofanyika katika Ukumbi wa juu wa Baraza hilo uliopo Mbweni nje kidogo ya Mji wa Zanzibar.
Maafisa wa ngazi ya juu wa Jeshi la polisi Tanzania walioshiriki semina ya Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar wakifuatilia Hotuba ya ufunguzi wa semina hiyo uliofanywa na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi kwenye ukumbi wa Baraza hilo uliopo Mbweni.Picha na Hassan Issa wa - OMPR – ZNZ.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...