Mkuu wa Shughuli za Biashara za Kibenki wa Benki ya Afrika Tanzania, Bw.Wasia Mushi (kushoto) akigawa chakula kwa wagonjwa wa hospitali ya Walemavu ya CCBRT ya jijini Dar es Salaam Jumatatu ya Pasaka. Wafanyakazi wa benki hiyo waliungana na wagonjwa katika hospitali hiyo na kula chakula cha mchana pamoja katika sikukuu hiyo.
Mkuu wa Shughuli za Biashara za Kibenki wa Benki ya Afrika Tanzania, Bw.Wasia Mushi (kushoto) akiongea na wagonjwa wa hospitali ya Walemavu ya CCBRT ya jijini Dar es Salaam Jumatatu ya Pasaka. Wafanyakazi wa benki hiyo waliungana na wagonjwa katika hospitali hiyo na kula chakula cha mchana pamoja katika sikukuu hiyo.
Mkuu wa Shughuli za Biashara za Kibenki wa Benki ya Afrika Tanzania, Bw.Wasia Mushi (kulia) akigawa zawadi kwa wagonjwa wa hospitali ya Walemavu ya CCBRT ya jijini Dar es Salaam Jumatatu ya Pasaka. Wafanyakazi wa benki hiyo waliungana na wagonjwa katika hospitali hiyo na kula chakula cha mchana pamoja katika sikukuu hiyo.


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...