Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.
Ali Mohamed Shein,akizungumza na Mtendaji Mkuu wa Shirika la Millenium
Challenge Cooperation(MCC) la Marekani Daniel Yohannes,alipofika Ikulu
Mjini Zanzibar leo,akiwa na ujumbe wake.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Dk. Ali Mohamed Shein,(katikati)akizungumza na Mtendaji Mkuu wa
Shirika la Millenium Challenge Cooperation(MCC) la Marekani Daniel
Yohannes,akiwa na ujumbe wake akiwemo Balozi wa Marekani Nchini
Tanzania Alfonso Lenhardt, walipofika Ikulu Mjini Zanzibar leo.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza Mapinduzi
Dk.Ali Mohamed Shein, (katikati) akizungumza na Uongozi wa Wizara ya
Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi na Ushirika,katika utekelezaji wa kazi za
Wizara hiyo katika Ukumbi wa mikutano Ikulu Mjini Zanzibar.
Baadhi ya Watendaji na maafisa wa Idara mbali mbali
katika Wizara ya Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi na Ushirika, wakiwa
katika ukumbi wa mikutano Ikulu Mjini Zanzibar,katika kikao cha
Uongozi wa Wizara hiyo,chini ya Mwenyekiti wake Rais wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,ikiwa katika
mpangilio wa Rais, kuzungumzia utekelezaji wa kazi za kila
Wizara.Picha na RamadhanOthman,Ikulu.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...