Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, William Erio akimkabidhi tuzo ya Mpiga Picha Bora 2012, Joseph Senga kutojka Kampuni ya Free Media inayochapisha magazeti ya Tanzania Daima na Sayari. SDEnga amepata tuzo hiyo baada picha aliyopiga ikimuonesha askarti Polisi akimsurubu Mwandishi wa Habari, Marehemu Daudi Mwangosi wa Kituo cha Televisheni cha Chanel Ten.
 Hongera, ulistahili
 Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad akimkabidhi mfano wa hundi mshindi wa jumla wa tuzo za EJAT 2012, Lucas Liganga.
  Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad akimkabidhi mfano wa hundi mwandishi mkongwe aliyepata mafanikio. 
Mpiga Picha Bora 2012, Joseph Senga (kulia) akiwa na mpiga picha wa magazeti ya Uhuru na Mazalendo, Emmanuel Ndege ambaye aliingia katika fainali za kinyang'anyilo cha kumtafuta mpiga picha bora.
 Mwandishi wa Habari wa Mwananchi Communications, Anthony Mayunga akipokea tuzo yake.
Jaji Mstaafu Thomas Mihayo akimkabidhi tuzo ya mwandishi bora wa habari za watoto, Shadrack Sagati kutoka TSN.

BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. brother Michu I hope utanibania..

    Napenda kuongelea mavazi, naelewa hakuna dress code kwenye shughuli kama hizi ila please mwandishi wa habari kwenye shughuli kama hii vaa vizuri, atleast chomekea shati kama ni la kuchomeka. Vaa suti kama unayo, hivi vitu nilifikiri vinafundishwa vyuoni..

    Vinginevyo hata kama unafanya kazi nzuri, unapotekea shughuli kama hii uko shagala bagala wasiokujua wanaondoka na impression nyingine.. remember first impression lasts

    ReplyDelete
  2. Anonymous # 1 you said it all.

    ReplyDelete
  3. nini tena jamani! work ethics au? mbona katoka tu fresh! hayuko kazini kaenda tu kuchukua tuzo! shida yako nini mdau? au.........!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...