Ukiwa unaingia kwenye kituo cha Daladala cha Mwaloni Jijini Mwanza,kuna Shimo hili ambalo limekuwa ni kero kwa Daladala zinazoingia kupaki kwenye kituo hicho.Shimo hili linawezekana kabisa kuzibika kwani linatakiwa kuwekwa karavati tu.
Mtoto akijiandaa kuvuka barabara.
Mwendesha bodaboda akiwa katika chombo chake huku akiwa kapakia abiria,bila ya kuvaa helment ambayo kaining'iniza kwenye usukani.
Hapa ndio wamepaki wenyewe.
Sambusa
Barabara ya kuelekea Chuo Kikuu cha Mt. Augustine.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...