Ukiwa unaingia kwenye kituo cha Daladala cha Mwaloni Jijini Mwanza,kuna Shimo hili ambalo limekuwa ni kero kwa Daladala zinazoingia kupaki kwenye kituo hicho.Shimo hili linawezekana kabisa kuzibika kwani linatakiwa kuwekwa karavati tu.
 Mtoto akijiandaa kuvuka barabara.
 Mwendesha bodaboda akiwa katika chombo chake huku akiwa kapakia abiria,bila ya kuvaa helment ambayo kaining'iniza kwenye usukani.
 Hapa ndio wamepaki wenyewe.
Sambusa
 Barabara ya kuelekea Chuo Kikuu cha Mt. Augustine.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...