Mkurugenzi Mkazi wa UNDP Tanzania Bw. Philipe Poinsot (kulia),Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto Mhe. Sophia Simba (katikati) na Mkurugenzi Mtendaji wa UN-Women Kanda ya Afrika Mashariki na Pembe ya Pwani,Bi. Christine Musisi wakiwa katika Kikao kazi cha Ushirikiano kuhusu kuandaa Mkakati wa Pamoja wa namna ya kushughulikia masuala ya Jinsia katika Sekta ya Madini,kilichofanyika jijini Dar.
Mkurugenzi Mkazi wa UNDP Tanzania Bw.Phillipe Poinsot akiongea wakati wa ufunguzi Kikao kazi cha Ushirikiano kuhusu kuandaa Mkakati wa Pamoja wa namna ya kushughulikia masuala ya Jinsia katika Sekta ya Madini,jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya Washiriki wa kikao hicho wakifuatilia ufunguzi rasmi wa Kikao kazi cha Ushirikiano kuhusu kuandaa Mkakati wa Pamoja wa namna ya kushughulikia masuala ya Jinsia katika Sekta ya Madini.






Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...