DR. FRANCIS MW. MSELLEMU

Baba, ni miaka 17 sasa tangu ulipotuacha!
Haijawahi kuwa rahisi kwetu, kwani kila iitwapo leo machungu na majonzi yetu ni kama jana.


Tunamshukuru Mwenyezi Mungu kwa kutujalia nafasi ya kuwa na Baba kama wewe, na nafasi ya kuishi nawe kwani kwetu  ulikuwa Rafiki na  Mwalimu.


Kwa Mapenzi  ya Mwenyezi Mungu,  tunaendelea kukua kiimani tukiamini kwamba ipo siku moja tutakutana nawe tena.

Pumzika kwa Amani Baba!

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Mola ailaze roho ya marehemu Dr. Mselem mahali pema peponi, Amiin

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...