Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Michezo Ndugu Leonard Thadeo katikati akizungumza na washiriki wa mafunzo ya siku mbili ya Sayansi ya Michezo yanayoendeshwa na wataalam wa Michezo kutoka katika Chuo cha Newman University Uingereza.Kulia ni Dkt. Iman Silver Kyaruzi na kushoto ni Dkt. Tony Myers. Semina hiyo inafanyika jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya washiriki wakimsikiliza Mkurugenzi wa Maendeleo ya Michezo nchini Ndugu Leonard Thadeo( hayupo pichani) kuhusu Semina ya siku mbili ya Sayansi ya Michezo inayoendeshwa na wataalam wa Michezo kutoka katika Chuo cha Newman University cha London
Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Michezo Ndugu Leonard Thadeo (Kushoto waliosimama) akitoa maelezo mafupi kwa mtaalamu wa michezo kutoka Newman University cha London Dkt.Tony Myers( kulia aliyesimama) katika Semina ya siku mbili ya Sayansi ya Michezo inayofanyika Jijini Dar es Salaam.( Picha zote na Benjamin Sawe wa WHVUM).

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. imani ela yetu ya shipping vp jomba hata bill of lading hatujapata kumbe upo mjini tuonane basi tumalize biashara

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...