Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 9 mpaka sasa

  1. Nitafurahi tu endapo nitaona tunaouwezo wa kulinda nchi yetu kwa angalau asilimia 95 kwa maadaui wa aina zote. Hakuna nchi inayoaminika dunia ya sasa; kila nchi inajali maslahi yake.

    ReplyDelete
  2. Waambie malawi kabisa mapema .wakizingua shauli yao

    ReplyDelete
  3. Tunataka Amani siyo vita wala malumbano ya siasa

    ReplyDelete
  4. Our MiGs... alete mtu fyoko tumbalaze

    ReplyDelete
  5. hamna ubavu wa kuwapiga wamalawi unadhani wazanzibari wao jaribuni mtakiona ta mtema kuni

    ReplyDelete
  6. kwani malawi wana nini hadi tushindwe. kwa taarifa yako sisi tuko poa kuliko wao kwanza kwa nguvu kazi na kwa technolojia. ukumbuke kuwa kanchi ka malawi ni kama kanda ya kaskazini tu kwa tanzania.wakitaka wakaulize IDI AMINI TULIMFANYA NINI NA PIA WAKAULIZE COMORO TULIMFANYA NINI RAISI ALIEGOMA KUTOKA MADARAKANI NI MIFANO MICHACHE TUU!

    ReplyDelete
  7. Mpe huyo mdau, na sera zake hapa za unzanzibar, zanzibar ni kisiwa tu, sio continental, asituzingue hapa, kama generation yake ilihamia hapo kisiwani, atajiju, hicho kimalawi, labda ukubwa wake kama unguja, utalinganisha na ukumwa wa TZA, na kuna watu wenye mingufu na miakili wacha wewee chezea TZA, KUDOS

    ReplyDelete
  8. Malawi wana nufaika sana na Diplomasia za Kistaarabu za Dr. Jakaya Mrisho Kikwete.

    Kikwete asingekuwa Balozi wa Diplomasia nadhani muda mrefu tungeongeza Mikoa ya Jamhuri ya Muunganio wa Tanzania tukawa na Mkoa wa Malawi!

    Mama Joyce Banda tungempa akabaki kuwa Mkuu wa Mkoa wa Malawi ili UN waone tunazingatia Gender Balance (Yaani usawa wa Jinsia ktk Utawala)

    ReplyDelete
  9. Mdau wa Tano hapo juu anony wa Sat Apr 27, 12:19:00 am 2013.

    ...hamna ubavu wa kuipiga Malawi...

    Malawi ni choka mbaya wana njaa, walisoma elimu ile ya mkoloni na matatizo yemewakamata vibaya sana.

    Malawi wanatuonea viwu na mimali ya Tanzania na sasa wanataka ziwa lote liwe lao.

    Hivi mbona ule upande wa ziwa sehemu ya Msumbiji hawadai kuwa pia ni sehemu yao?

    Tanzania tuna matatizo madogo tu ya kuiendeshaji ambayo ni changamoto lakini Malawi tunaweza kiumeza kama Mamba anavyomeza chura na tukawatwanga vibaya kabisa!!!,,,

    Wewe juzi hao jamaa Waasi wa M-23 wanaosumbua huko Maziwa Makuu waliposikia Jeshi la Tanzania linakuja, wenyewe wakaweka bunduki chini na Mkuu wao (Bosco Ntaganda) mwenyewe akajikabidhi Ubalozi wa Marekani Kigali-Rwanda,,,,,,Chezea Tanzania weye?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...