Mkurugenzi Mwendeshaji wa Bodi ya Utalii Dk. Aloyce Nzuki akizungumza na Linda Ruan, Mkurugenzi wa Masoko wa Kampuni ya World Travel Online ya China katika Maonyesho ya COTMM 2013 jijini Beijing China.
Mkurugenzi wa Kampuni ya Utalii ya MIGADA Bw. Mike Ngoty (kushoto) akiwa na mkalimani wake katika banda la Tanzania akiuza utalii katika maonyesho ya COTMM 2013 jijini Beijing China.
Wadau mbalimbali wakiwa katika banda la Tanzania wakitangaza utalii wa Tanzania katika maonyesho ya COTMM 2013 jijini Beijing China.
Wadau wanaomiliki kampuni za utalii nchini kutoka kulia Elia Richard wa Into Africa; Shabbir Khan wa Predator Safaris na Suleiman Said wa Langilangi katika banda la Tanzania kwenye Maonyesho ya COTMM 2013 jijini Beijing China. (Picha zote na mdau Pascal Shelutete, TANAPA).

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Great guys! Peperusheni bendera ya Taifa letu Wachina now a days ndo Watallii wakubwa Duniani!!!!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...