Waziri Mkuu wa Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli,Mh. Edward Lowassa akipokea tuzo kutoka kwa Askofu wa Kanisa la Overcomers, Dk. Boaz Sollo alipohudhuria harambee ya ujenzi wa kanisa hilo na kituo cha redio mkoani Iringa,hivi karibuni.
Waziri Mkuu wa Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli,Mh. Edward Lowassa akionyesha tuzo aliyopewa na Askofu wa Kanisa la Overcomers, Dk. Boaz Sollo (kushoto) alipohudhuria harambee ya ujenzi wa kanisa hilo na kituo cha redio mkoani Iringa, hivi karibuni. Kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Iringa,Mh. Christine Ishengoma.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Huyu mzee naona ana mabilioni mengi, yuko kwenye harambee nyingi sana. Mungu amjalie.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...