Warembo wa Kitongoji cha Dar Indian Ocean (Redd's Miss Dar Indian Ocean) wakiwa kwenye picha ya Pamoja wakati wakiwa kwenye maandalizi ya kuingia kwenye kinyang'anyiro chai kitakachofanyika April 30,kwenye Ukumbu wa Makumbusho jijini Dar.Katikati ni Mrembo anaeshikilia taji hilo kwa sasa ambaye ndie Mwalimu wa Warembo hao,Diana Hussein.
Home
Unlabelled
Miss Dar Indian Ocean 2013 kufanyika April 30
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Miss AA,Miss BB,Miss CC,Miss DD,Miss EE,Miss FF,Miss GG,Miss??Kazi ipo
ReplyDeleteDavid V