Rais Mstaafu Mzee Benjamin William Mkapa alipotembelea majengo ya Ofisi za Halmashauri na za Serikali zilizochomwa moto wakati wa vurugu za wahuni zilizotokea Masasi hivi karibuni.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. Ofisi za almashauri na za serikali zilizo chomwa moto na WAHUNI ili neno WAHUNI hapa limenikumbusha zamani kweli.

    ReplyDelete
  2. kwanini msiwaite wana harakati mnawaita wahuni acheni zenu bwana bongo bongo

    ReplyDelete
  3. Wanaharakati hawawezi kufanya uhuni kama huo

    ReplyDelete
  4. kwahiyo hiyo wanaharakati wanaruhusiwa ya kuchoma mali za mashirika na mali watu au uko ulaya ndio wanafanya hivyooo coz ss tuiga vitu kutoka ulaya hao ni wahuni na wanatakiwa walipe hizo mali za watu.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...