Meneja wa Fedha wa kampuni ya MultiChoice Tanzania, Francis Senguji (kushoto) akimkabidhi Bw. Masoud Said (38), mkazi wa jiji la Mbeya kitita cha Tshs 10,000,000 alizoshinda kutokana na bahati nasibu ya DStv Rewards inayochezeshwa na kampuni hiyo ya MultiChoice Tanzania Kila wiki, DStv wamekuwa wakitoa kitita cha Tshs 5,000,000 kwenye droo maalum ya DStv Rewards kwa wateja wake wanaofanya malipo kabla ya akaunti zao kukatika.
Kushoto ni Meneja Masoko wa kampuni hiyo,Furaha Samalu.
Bw. Masoud Said akiweka kitita chake hicho kwenye mfuko mara baada ya kukabidhiwa.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...