Mkurugenzi mkuu wa Nhif akitoa taarifa fupi ya mfuko wa Bima ya Afya kwa Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Lindi kuhusiana na mpango endelevu wa kuleta madaktari Bingwa Mikoani
Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Lindi Abdallah Ulega akikabidhi msaada uliotolewa na NHIF kwa hospital ya Sokoine.
Baadhi ya madaktari Bingwa wanaotoa tiba katika Hospital ya Mkoa wa Lindi kwa Ufadhili wa NHIF.
Kaimu mkuu wa mkoa wa Lindi,Abdallah Ulega akizungumza wakati wa kuzindua tiba ya Madaktari Bingwa toka Muhimbili watakaotoa tiba kwa wateja wa Nhif na wasio wateja hadi tarehe 13 April 2013.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...