Home
Unlabelled
NYUMBA / KIWANJA KINAUZWA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MichuziBlogV2Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Is this real? Ooohhhh no, I cannot believe it, can someone explain to me please?
ReplyDeleteUnauza nyumba au kiwanja?
ReplyDeleteMbona naona nyumba ya mwaka 70 kwenye kiwanja cha Sqm chini ya 250! Hiyo ndo Mil 180!!!!!
ReplyDeleteHata robo ya hiyo sitoi!
nyumba nzuri saana hiyo kwa nini unaiuza?
ReplyDeleteNi kweli sio utani,kwa mdau wa kwanza hapo juu nimejaribu kumpigia muhusika! Hapo ni kiwanja ndicho kinachouzwa coz hiyo sio nyumba ya kukaa mtu atakae nunua kwa hizo hela so hapo ni kiwanja ndicho kinachouzwa!!
ReplyDeletehiyo nyumba au banda la kuku
ReplyDeleteNingeinunua labla kungekuwa hamna kufa,hilo gofu then uswazzzz hivyo aisee ni blaaa
ReplyDeletekweli bongo pesa haina thamani!!!!!!!!!!!!!!!!
ReplyDeleteMhhh mbona bei ya nyumba haiendani na hadhi ya nyumba yenyewe!!!!!
ReplyDeleteHakuna nyumba hapo hata niaibu kuweka picha kama hizo eti kwa gharama ya mamilioni ya shilingi. Iwe nyumba au kiwanja kwa mwonekano huo hakuna kitu hapo
ReplyDeleteAseme anauza kiwanja ambacho kitahitaji kusafishwa>
ReplyDeletebasi ukiona hivyo ndugu wameshindwa kuelewana wameona bora wauze wagawane wako kama 8 hivi na wajukuu humohumo halafu ina kesi mahakamani na wapangaji hawataki kuhama.
ReplyDeleteThat is $111,248.46! See what I can get for less than that in Tampa, Florida http://www.floridamoves.com/property/details/1126163/MLS-U7564778/18960-Duquesne-Dr-Tampa-FL-33647.aspx?SearchID=15378540&RowNum=90&StateID=14&RegionID=0&IsRegularPS=True&IsSold=False
ReplyDeleteNadhani thamani ya nyumba hailingani na bei iliyotolewa. Hii ni kama dolla 150,000. Ukienda Marekani au ulaya kwa bei hiyo unapata nyumba nzuri sana zaidi ya hii.
ReplyDeletehuyu anauza kiwanja kwa hiyo angetakiwa aseme ukubwa wa hicho kiwanja. Bila kujua ukubwa wa kiwanja picha ya hii nyimba haisaidii kitu kulinganisha na hiyo 180 million!
ReplyDeletelaki moja na themanini au?
ReplyDeleteHivi nyumba kama hizo bado ziko Dar,
ReplyDeletekweli mimi sirudi huko afrika, tunaambiwa maendeleo yako ndio hivyo kumbe? jamani nyumba hio iko mji mkuu wa nchi ya tanzania mimi sirudi wala vipi haiwezekani hapo ndio mwananyamala ! kwetu je Lindi kutakuwaje
I like my city but ..inasikutisha sana kuona pango kama ilo downtown,
Deleteilafu na hiyo bei. I thing there r typing
error* anamaanisha labda 1,800,000.
Disgusting!
ReplyDeleteDizayni alitaka kusema milioni 1 na laki 8; akakosea akasema milioni 180.
ReplyDeleteMie hata bure siitaki
ReplyDeleteHiyo ni nini!!!!!!!???????? wacha mambo jamaa yangu! Yaani gharama ya hiki ninachokiona au macho yangu!
ReplyDeleteUnashangaa nini mnadhani mwanaya B niile ya zamani?hutaki kununua kwabei hioo kanunueni mjini muangukiwe na maghorofaa!mji umebadilikaaa.
ReplyDeletehiyo ni karibia dola $116,000.00 ambayo naweza kupata nyumba kwa hapa marekani. Naona watanzania hatuko serious mtu anajipangia bei tu bila kuweka vigezo vya maana. Kwa kuanzia tu hapo ni kiwanja ndio unauza siyo nyumba..
ReplyDeleteHAHAHAHAHAHAHAHAHHA 180 MILLIONI????. INNALILAH WAINAILYHI RAJIUN
ReplyDeletehih hih ihi hi No comment wacha nijichekee na hizo comment humu ndani,bora wengine waulize ni laki na themanini au milioni na laki nane?
ReplyDeleteDah!!!! UK unapata detached za kisasa 2 na unakodisha uko mbali kwa bei hiyo ushajenga ngapi ?
Kushangaa lazima! Mwananyamala napafahamu sana uswahili vile vile! Nina heka moja Kimara na nyumba nilitumia katibia milioni 60 kwa ujenzi na nikilinganisha nashangaa kabisa tuambie basi kiwaja kina ukubwa gani japo hata kwa bure sitaki. Wajinga ndio waliwao
ReplyDeleteNafikiri wachangiaji hapo juu hamfahamu Mwan..B ilivyo sasa hivi hapo mahali ni hot cake sasa hivi.
ReplyDeletekama hamna hela semeni msianze blablaaa wengine hamrudi bongo wengine uchafu mbona mkisafiri nyinyi kwenda nje mnakuwa hayawani hapa mnanikumbusha yule mtoto aliyekwenda kwa jirani enzi zetu akakuta makochi, mazulia na nyumba nzuri safi wakati ulipofika kurudi kwao mtaa wa pili akagoma na akaanza kulia acheni ujinga kwenu kama kuchafu si mmekimbia kufagia sasa akufagilie nani shuwaini nyie.
ReplyDeletemdau.
mbagala sokoni.
Wabongo hii ndio ila yenu ya ujinga na ufedhuli. kama hamna uwezo wa kununu basi semeni tu mtanunuliwa mnachotaka. nawengine acheni kupaka matope kwenu kwani mkataa kwao ni mtumwa tu.
ReplyDeleteAnkal waweke sawa hawa vibuzi marika.
Jamani asiyejua maana usimwambie maana hiyo nyumba ina hati ipo mjini unaweza kujenga nyumba ya kisasa hata hotel yawezekana. Ni Business Place. Chezea M'nyamala ww!!!!!
ReplyDeleteNendeni mkanunue mabondeni mpate habati zenu.
Basi abomoe kabisa asafishe ndio aanze kutangaza anauza kiwanja! hiyo nyumba hapo haina maana, ya nini?
ReplyDeleteHivi !! Naomba niulize ! Kuna vyombo vya kuweza kuhakiki thamani halisi ya projects kama hizi!? Ama ni vile umejisikia tu!!!
ReplyDeleteIts hot cake or whatever ni vile mtu unaweigh opportunity!!! Nazungumzia value for money na uhalisia wake....LOL!!!!!!!!!
Mdau Fred Macha alikuwa amepanga chumba kwenye jumba hili wakati alipotunga kile kibao chake cha PAKA MWEUSI!!!
ReplyDeleteKwa bei hiyo ni bora nitumie Tshs. 250,000/= nikanunue Kiwanja cha Shamba Vikindu halafu nitatumia Tshs. 50 Million nikajenga Ghorofa Vikindu huku Tshs. 130 Million zikibaki Benki!
ReplyDeleteZaidi ya hapo ikiwa itagundulika kwa uhakikisho wa Kisayansi labda kama hapo Mwananyamala chini ya nyumba ktk Kiwanja hicho pana Madini kama DHAHABU, ALMASI ama TANZANITE ndio naweza kutoa bei hiyo ya Tshs. 180 Million kununua.
Tshs. 180 Million ni ndogo ?