Waziri Mkuu Mh Mizengo Pinda akipokea hundi ya shilingi Milioni hamsini kutoka serIkali ya mapinduzi ya Zanzibar kufuatia ajili ya gorofa 16 lilosababisha maafa tarehe 29 march 2013 jijini Dar es salaam. Hundi hiyo imekabidhiwa na Makamu wa pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi makabidhiano hayo yalifanyika katika ofisi ndogo ya waziri mkuu iliyoko Oysterbay jijini Dar es salaam. Chini Mhe Pinda akitoa shukurani kwa ujumbe kutoka Zanzibar . Kushoto kwake ni Waziri wa Mambo ya Ndani Dkt Emmanuel Nchimbi. Picha na Chris Mfinanga
Home
Unlabelled
PINDA APOKEA RAMBIRAMBI KUTOKA SERIKALI YA MAPINDUZI ZANZIBAR KUFUATIA AJALI YA KUANGUKA KWA GHOROFA JIJINI DAR ES SALAAM
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...