Waziri Mkuu Mh Mizengo Pinda akipokea hundi ya shilingi Milioni hamsini kutoka serIkali ya mapinduzi ya Zanzibar kufuatia ajili ya gorofa 16 lilosababisha maafa tarehe 29 march 2013 jijini Dar es salaam. Hundi hiyo imekabidhiwa na Makamu wa pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi makabidhiano hayo yalifanyika katika ofisi ndogo ya waziri mkuu iliyoko Oysterbay  jijini Dar es salaam. Chini Mhe Pinda akitoa shukurani kwa ujumbe kutoka Zanzibar . Kushoto kwake ni Waziri wa Mambo ya Ndani Dkt Emmanuel Nchimbi. Picha na Chris Mfinanga

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...