Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiongoza harambee ya kuchangia mfuko wa maendeleo jimbo la Ukonga jana jioni ambapo jumla ya Shilingi 462m/ zilipatikana ikiwa ni ahadi na fedha taslimu. Rais Kikwete alichangia jumla ya shilingi 110m/-Wakati wa harambee hiyo iliyofanyika katika hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam jana jioni.Kulia ni mbunge wa ukonga Eugen Mwaiposa na wapili kushoto ni mwenyekiti wa ukonga SACCOS Advera Ruge (picha na Freddy Maro).
Home
Unlabelled
Rais Kikwete aongoza harambee ya maendeleo jimbo la Ukonga.Achangia 110m/
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...