Rais wa Jamhuri ya Muungano Dk. Jakaya Mrisho
Kikwete,akitia udongo katika kaburi la Marehemu Haji Gharib Bilali,
Mdogo wake Makamu wa Rais wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dk.Mohammed Gharib Bilal, wakati wa maziko yaliyofanyika leo
jioni huko Mwera,Wilaya ya Magharibi Unguja.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.
Mohamed Gharib Bilal,akitia udongo katika kaburi la Mdogo wake
Marehemu Haji Gharib Bilali, wakati wa maziko yaliyofanyika leo jioni
huko Mwera,Wilaya ya Magharibi Unguja.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein,,akitia udongo katika kaburi la
Marehemu Haji Gharib Bilali, Mdogo wake Makamu wa Rais wa Serikali ya
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.Mohammed Gharib Bilal, wakati wa
maziko yaliyofanyika leo jioni huko Mwera,Wilaya ya Magharibi
Unguja.
Rais wa Jamhuri ya Muungano Dk. Jakaya Mrisho
Kikwete,akitia udongo katika kaburi la Marehemu Haji Gharib Bilali,
Mdogo wake Makamu wa Rais wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dk.Mohammed Gharib Bilal, wakati wa maziko yaliyofanyika leo
jioni huko Mwera,Wilaya ya Magharibi Unguja,[Picha na Ramadhan
Othman,Ikulu.]


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...