Mwenyekiti wa Kamati Kuu ya Taifa sensa ya watu na makazi Waziri Mkuu Pizengo Pinda akijadiliana jambo pamoja na Kamishna wa Sensa ya watu na Makazi Tanzania Bara Hajat Amina Mrisho wakati wakiangalia Ripoti ya idadi ya watu kwa ngazi ya Utawala hapo Hyatt Legency Kilimanjaro Hoteli Dar es salaam.
Mwenyekiti wa Kamati Kuu ya Taifa sense ya watu na makazi Waziri Mkuu Pizengo Pinda akizindua Ripoti Ripoti ya idadi ya watu kwa ngazi ya Utawala hapo Hyatt Legency Kilimanjaro Hoteli Jijini Dar es salaam.
Mwenyekiti mwenza wa Kamati Kuu ya Taifa sensa ya watu na makazi ambae pia ni Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akiwa pamoja na uongozi wa Juu wa Kamati ya Sensa nje ya Ukumbi wa Hoteli ya Hyatt Legency Kilimanjaro Jijini Dar es salaam.
Picha na Hassan Issa wa – OMPR – ZNZ.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...