Meneja wa Bia ya Safari Lager, Oscar Shelukindo (kulia) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa kutangaza ushindi wa Tuzo ya Bia Bora Barani Afrika kwa bia ya Safari Lager ilioupata,ambapo pia Hatua hii itafuatiwa na safari ya kupeleka kikombe hiki cha ushindi Bungeni siku ya Alhamisi wiki hii. Kama tunavyofahamu, wabunge ni wawakilishi wa wananchi wote hivyo itakuwa fursa nzuri kufikisha kombe hili ambapo Bunge litatoa baraka zake nasi tutaanza kulizungusha kombe katika maeneo mbalimbali ya nchi yetu. Ujumbe mkuu katika ziara hii utakuwa ni kuutangaza ushindi huu mkubwa wa Bia hii ya Kitanzania, inayotengenezwa na Watanzania.Kulia ni Mratibu wa Ziara hiyo,Innocent Melleck.
Meneja wa Bia ya Safari Lager, Oscar Shelukindo akionyesha vikombe hivyo.
Baadhi ya waandishi wa habari waliokuwepo kwenye mkutano huo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...