Ujumbe wa Kampuni ya Bia Tanzania unaoongozwa na Meneja wa Bia ya Safari Lager,Oscar Shelukindo (pili kulia) ukiingia kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma Mapema leo asubuhi kwa kuhudhuria Mkutano wa 11 wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.Wengine pichani toka kulia ni Mratibu wa Ziara ya Kombe la Ushindi wa Bia Bora Barani Afrika ulioupata Bia ya Safari Lager,Innocent Melleck,Mkurugenzi wa Miradi Maalum wa Kampuni ya Bia Tanzania,Phocas Laswai,Mpishi Mkuu wa Bia za TBL,Gaudence Mkolwe,Mkuu wa Mauzo wa Kanda ya Mashariki,James Bokela pamoja na Meneja Mauzo wa TBL,Kanda ya Kati,Julius Ngaga.Ujumbe huu upo mjini Dodoma kwa azili ya kupata Baraka za wabunge na uzinduzi rasmi wa Ziara ya Kombe la Ushindi wa Bia Bora Barani Afrika ulioupata Bia ya Safari Lager,ambapo jioni ya leo kutakuwa na tafrija fupi ya kupongeza ushindi huo itakayofanyika kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma.
Wakijadiliana jambo kabla ya kuingia kwenye ukumbi wa Bunge ili kufatilia shunghuli mbali mbali zinazoendeshwa na Bunge.
Wakiwa ndani ya ukumbi wa Bunge kufatilia shunghuli mbali mbali zinazoendeshwa na Bunge.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...