Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akiingia uwanja wa Uhuru jijini Dar es salaam leo kuongoza Watanzania kusherehekea miaka 49 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar uliozaa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania. Pamoja naye kwenye gari hilo la wazi ni Mkuu wa Majeshi, Jenerali Davis Mwamunyange
 Nyomi si ya kawaida hata pa kutema mate hakuna
 Msafara wa Rais Kikwete ukizunguka uwanja wa Uhuru
Nyomi ya leo. Taswira zingine na kumwaga baadaye.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. Udumu Muungano!Nani ameruhusu huo uwanja utumike jamani.Majukwaa hayo si bado ujenzi unaendelea?,halafu yakibomoka na hiyo "nyomi" tunasema ni mapenzi ya mungu.Dont take chances...c'on.Uwanja mpya si upo??

    ReplyDelete
  2. Hivi yale magari ya Nyumbu aliyokuwa akitumia Ben yako wapi siku hizi? Hata JK alikuwa akiyatumia. Yalikuwa yanafaa sana kwa sherehe za kitaifa. Walau tulikuwa magari yetu. Kama yameharibika JWTZ wayafufue au watengeneze mengine mapya. Fikisha ujumbe kwa wahusika.

    ReplyDelete
  3. udumu kwenu huu muungano siyo kisiwani amin

    ReplyDelete
  4. Mdau wa 3 mpinga Muungano anony wa Sat Apr 27, 12:20:00 am 2013

    ...Udumu Muungano hadi Kisiwani Zanzibar...!!!

    Ni kuwa umesha ukalia na umenasa!

    Wewe ni Simba S.C umekalia LIBOLO mwanawane!

    Muungano haufi ng'o utakufa wewe na mimi!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...