Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Yanga nawaomba sana, shangilieni AZAM,tafadhali.Nilibahatika kushuhudia mechi ya Azam na Barrack Y.C.II ya Liberia majuzi.Mwanzoni kabla ya mchezo kulikuwa na mgawanyiko,Yanga waliwazomea wageni lakini kadri mchezo ulivyokuwa unaendelea Yanga ikawa "inageuka" kuwa Barrack!(kuna ujumbe HASI ulienezwa haraka miongoni mwa Mashabiki wa Yanga).Timu zetu zinapocheza na timu za nje tuungane kuzishangilia kama ilivyo kwa Stars.Kuna faida nyingi za kufanya hivyo.

    David V

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...