MDAU Said Mdoe amefiwana dada yao kipenzi Fatma Mdoe (pichani) aliyefariki ghafla jana (Jumatano) saa 10 jioni. Msiba uko nyumbani kwa marehemu Mbezi Beach, Dar es salaam, jirani na Dr Hizza.

Mazishini yatakuwa leo Alhamisi saa 10 Alasiri katika makaburi ya Kisutu, jijini Dar es salaam.  Msafara wa kutoka Mbezi kuelekea makaburini utaanza saa 8.30 mchana ili kukabiliana na adha ya foleni.

Mungu amlaze mahali pema Peponi
AMINA.
 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. poleni. such a beauty...

    ReplyDelete
  2. Annoy: not only the beauty But also the Brains. poleni sana this is a big loss. RIP

    ReplyDelete
  3. She was so sweet!!!n very beautiful!! to die...RIP.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...