Ndugu Adam Nderumaki anasikitika kutangaza kifo cha baba yake Mzazi kilichotokea usiku wa Jumatano katika Hospitali ya Taifa Muhimbili.
Mipango ya mazishi inafanyika nyumbani kwa marehemu Mzee Bernard Nderumaki Victoria, Kijitonyama. Ibada ya kuaga mwili itafanyika nyumbani kwa marehemu siku ya Jumapili saa 8 mchana na mazishi yatafanyika siku ya Jumatatu Kilema Moshi.
Bwana ametoa bwana ametwaa jina lake lihimidiwe,
Amen.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...