Mdau Adam Nderumaki anatangaza kifo cha baba yake Mzazi
kilichotokea usiku wa Jumatano katika Hospitali yay a Taifa Muhimbili. Mipango
ya mazishi inafanyika nyumbani kwa marehemu
Mzee Bernard Nderumaki Victoria, Kijitonyama.
Ibada ya kuaga mwili
itafanyika nyumbani kwa marehemu siku ya Jumapili saa 8 mchana na mazishi
yatafanyika siku ya Jumatatu Kilema Moshi.
RIP Mzee NDE
ReplyDeletePoleni sana wafiwa. Huyu Mzee Nderumaki ni baba yake na Margaret Nderumaki pia aliyekuwa mwalimu?? R.I.P. Mzee Nderumaki
ReplyDelete