Kandarasi wa ujenzi wa mradi kisima cha maji kilichofadhiliwa na kampuni ya bia Tanzania TBL .Godwin Kalaghe wa kampuni ya Dr Gogo engineering limited ya jijini Dar es salaam akimkabidhi mkurugenzi wa mahusiano na sheria wa TBL Stephen Kilindo taarifa za kukamilika kwa mradi huo.
Mradi wa kisima cha maji kilichofadhiliwa na kampuni ya bia Tanzania katika kijiji cha Makanya wilayani Same chenye thamani ya shilingi milioni 51.6.Uwepo wa kisima hiki utasaidia kupunguza tatizo la maji hususani kwa wakazi wa Tambarare katika wilaya ya Same.
Mkurugenzi wa mahusiano na sheria wa kampuni ya bia Tanzania TBL Stephen Kilindo akisaidia kumbebesha ndoo ya maji mkazi wa kijiji cha Makanya Asia Zuberi kuashiria uzinduzi wa mradi wa kisima hicho cha Maji.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...