Msanii wa Muziki wa Kizazi Kipya wa miondoko ya kufokafoka,Joh Makini akifanya vitu vyake mbele ya Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Mt. Augustine jijini Mwanza waliofurika kwa wingi kwenye viwanja vya Raila Odinga ndani ya Chuo hicho,jijini Mwanza.hii ni katika Uzinduzi wa Tamasha la kampeni ya kinywaji cha Grandmalt ya kuwashindanisha wanafunzi wa vyuo vya elimu ya juu ili kuweza kujinyakulia zawadi mbalimbali ikiwa ni pamoja na fedha taslimu.Kampeni hiyo inajulikana kama Exel with Grand Malt, tamasha hilo lilifanyikia katika viwanja vya Raila Odinga ndani ya Chuo Kikuu Mt. Augustine jijini Mwanza.
Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Mt. Augustine jijini Mwanza wakichuana vikali katika Mtanange wa Mpira wa Miguu kwenye Uzinduzi wa Tamasha la kampeni ya kinywaji cha Grandmalt ya kuwashindanisha wanafunzi wa vyuo vya elimu ya juu ili kuweza kujinyakulia zawadi mbalimbali ikiwa ni pamoja na fedha taslimu.Kampeni hiyo inajulikana kama Exel with Grand Malt, tamasha hilo lilifanyikia katika viwanja vya Raila Odinga ndani ya Chuo Kikuu Mt. Augustine jijini Mwanza.
Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Mt. Augustine jijini Mwanza wakichuana vikali katika Mpira wa Wavu (Volleyball) kwenye Uzinduzi wa Tamasha la kampeni ya kinywaji cha Grandmalt ya kuwashindanisha wanafunzi wa vyuo vya elimu ya juu ili kuweza kujinyakulia zawadi mbalimbali ikiwa ni pamoja na fedha taslimu.Kampeni hiyo inajulikana kama Exel with Grand Malt, tamasha hilo lilifanyikia katika viwanja vya Raila Odinga ndani ya Chuo Kikuu Mt. Augustine jijini Mwanza.
Meneja Matukio wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) Kanda ya Ziwa,Erick Mwayela (katikati) akishirikiana kupanda Miti na Mkuu Msaidizi wa Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Mt. Augustino jini Mwanza,Kizoto Mbonde na Makamu wa Rais wa Chuo hicho,Emiline Mrosso.Upandaji miti huo ni sehemu ya kampeni ya kinywaji cha Grandmalt ya kuwashindanisha wanafunzi ili kuweza kujinyakulia zawadi mbalimbali ikiwa ni pamoja fedha taslimu ijulikanayo kama Exel with Grandmalt.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...