Ofisa Mkuu wa Usambazaji na mauzo wa Vodacom Tanzania, Hassan Salleh, akitoa huduma kwa wateja waliofika wakati wa uzinduzi wa duka jipya la huduma kwa wateja lililoko katika mtaa wa India Posta jijini Dar es Salam, Vodacom imezindua maduka mawili yanayotarajiwa kupunguza msongamano katika maduka mengine ya kampuni hiyo.
Ofisa Mkuu wa Usambazaji na mauzo wa Vodacom Tanzania, Hassan Salleh, akimkabidhi funguo, Meneja Miradiwa Vodacom Tanzania, Sharon Rwekola, mara baada ya kuzinduliwa kwa duka jipya la kampuni hiyo lililoko mtaa wa India posta jijini dar es Salaam, Maduka hayo yanatarajiwa kupunguza msongamano kwa wateja wa kampuni hiyo.
Ofisa Mkuu wa Usambazaji na mauzo wa Vodacom Tanzania, Hassan Salleh, akitoa huduma kwa wateja waliofika wakati wa uzinduzi wa duka jipya la huduma kwa wateja lililoko katika makutano ya barabara ya morogoro Posta jijini Dar es Salam, Vodacom imezindua maduka mawili yanayotarajiwa kupunguza msongamano katika maduka mengine ya kampuni hiyo.
Meneja wa Duka la Vodacom lililoko mtaa wa Morogoro Posta Jijini Dar es Salaam, Sayed Shadab, mapema baada ya uzinduzi wa duka hilo, anayeshuhudia ni Ofisa Mkuu wa Usambazaji na mauzo wa Vodacom Tanzania, Hassan Salleh, Vodacom imezindua maduka mawili yanayotarajiwa kupunguza msongamano katika maduka mengine ya kampuni hiyo.
Meneja wa Duka la Vodacom lililoko mtaa wa Morogoro Posta Jijini Dar es Salaam, Sayed Shadab, mapema baada ya uzinduzi wa duka hilo, anayeshuhudia ni Ofisa Mkuu wa Usambazaji na mauzo wa Vodacom Tanzania, Hassan Salleh, Vodacom imezindua maduka mawili yanayotarajiwa kupunguza msongamano katika maduka mengine ya kampuni hiyo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...