Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Capt (Mstaafu) George Mkuchika akifungua semina ya siku moja kwa waheshimiwa wabunge wanachama wa Chama cha Wabunge cha Kupambana na Rushwa Tanzania (APNAC) iliyfanyika katika ukumbi wa Karimjee, Dar es salaam. Kushoto ni Mwenyekiti wa APNAC Tawi la Tanzania Mhe. Dkt. Mary Mwanjelwa (Mb)
Mkurugenzi Mkuu wa Taaisisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Nchini (PCCB) Dkt. Edward Hosea akiwasilisha mada kwa waheshimiwa Wabunge wakati wa Semina hiyo.
Meza kuu na waheshhimiwa wabunge wakifuatilia mada
Meza Kuu wakisikiliza kwa makini baadhi ya hoja kutoka kwa wabunge wakati wa semina hiyo

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...