Mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Rcihard Lyimo (kushoto) akizungumza wakati wa kikao cha uchambuzi wa maoni ya wananchi kuhusu Katiba Mpya kilichofanyika leo (jumanne, April 2, 2013) katika Ofisi za Tume Jijini Dar es Salaam. Wengine ni Wajumbe wa Tume, Maria Kashonda (katikati) na Said El- Maamry.
Mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Mhe. Raya Suleiman Hamad (kushoto) akizungumza wakati wa kikao cha uchambuzi wa maoni ya wananchi kuhusu Katiba Mpya kilichofanyika leo (jumanne, April 2, 2013) katika Ofisi za Tume Jijini Dar es Salaam. Wengine kutoka kulia ni Wajumbe wa Tume, Humphery Polepole na Jesca Mkuchu.
Mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Salama Kombo Ahmed (katikati) akizungumza wakati wa kikao cha uchambuzi wa maoni ya wananchi kuhusu Katiba Mpya kilichofanyika leo (jumanne, April 2, 2013) katika Ofisi za Tume Jijini Dar es Salaam. Wengine ni Wajumbe wa Tume, Abubakar Ali (kushoto) na Mhe. Al-Shaymaa Kwegyir (kulia).

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Kama sheria ya kutambua ujinai wa ubaguzi (wa kabila, rangi, na dini) haimo katiba hiyo ni bure.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...