Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. Jamani kuhudhuria mazishi sio dhambi bali ni baraka hata kama watu walikosea kutangaza isivyo sio kitu kikubwaa saana cha kufanya mtu kukanusha kwa press release kama vile ni kashfa. Tupendane, Tujiamini, alexbura dar

    ReplyDelete
  2. inashangaza jinsi wakuu wanavyo-react...kuna harufu ya uhasama kibaya kuelekea kwa Marehemu!

    ReplyDelete
  3. OMG..kwanini anatumia official govt press release kwa issue kama hii,na wala sio issue kubwa hii naona hawakutumia busara kabisa

    ReplyDelete
  4. nadhani turudi nyuma, jadi yetu waafrika ni kuzikana.... kuzika ni heshima, haijawahi kuwa kashfa, yeyote ana haki ya kuhifadhiwa kwa kuzikwa.....sasa muafrika gani yuko proud kushindwa kuzika na uwezo alikuwa nao wa kwenda? wote tungeenda kama tungekuwa na uwezo! maiti haibaguliwi, mauti ni yetu sote... hatujui tutakufa wapi na nchi gani! tutahifadhiwa na yeyote huo ndio ubinadamu ni asili yetu...kufa...hata kama huna ndugu ,jamaa, marafiki ,utazikwa tuu na yeyote!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...