Balozi wa Tanzania nchini Mozambique,Mhe. Balozi Shamim Nyanduga aliitisha kikao cha pamoja, kati yake na Viongozi Wastaafu wa Frelimo Jen.Alberto Chipande, Jen. Raymundo Pachinuapa na Viongozi wa Jumuiya za Watanzania , Mozambique Ubalozini Maputo,ili kuzungumzia mambo mbali mbali ya maendeleo.hilo ni tukio la kwanza kufanyika tangu Mhe. Balozi Shamim Nyanduga afike nchini Mozambique.
Mh. Balozi Shamimi Nyanduga (pili kulia) akiwa katika picha ya pamoja na Viongozi Wastaafu wa Frelimo.Toka kushoto ni Col Lwimbo (DA),Jen. Pachinuapa na Jen. Chipande mara baada ya kikao hicho kumalizika.
Baadhi ya wajumbe wakifuatilia kwa makini maelezo ya Mhe. Balozi Shamim Nyanduga (Hayumo pichani).

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 09, 2013

    Kwawasio mfahamu Mzee Chipande, Mzee Chipande ni shujaa wa kweli yeye ndio alikuwa mtu wa kwanza kufyatua risasi na kumdondosha Mreno pamoja na Mbwa wake na hapo ndio kitimutimu kilipoanza kuikomboa Msumbiji toka mikononi mwa Wareno, na mpaka sasa Msumbiji ni huru ukiondolea mbali tafrani iliyojitokeza kati ya FRELIMO NA RENAMO.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...