Balozi wa Tanzania Jumuiya ya Ulaya Dr. Diodorus Buberwa Kamala (mwenye tai yenye rangi za bendera ya taifa) akiwa na Mratibu wa Tanzania wa Taasisi ya Wataalam Waandamizi wa Uholanzi(PUM) Mhe. Samuel Goldfinger. Balozi Kamala amemtembelea Mratibu huyo ofisini kwake mjini the Hague na kumuomba Taasisi yake ikubali kushirikiana na Tanzania kuandaa mpango wa kuwezesha vijana wa Kitanzania kupata ujuzi wa kuwawezesha kujiajiri na kuajiriwa. (Skills Development). PUM wamekubali kushirikiana na Serikali ya Tanzania kuandaa mpango huo.
Home
Unlabelled
Balozi wa Tanzania Jumuiya ya Ulaya akutana na Mratibu wa Tanzania wa Taasisi ya PUM ya Uholanzi
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...