Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 13 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 22, 2013

    Bongo hakuna ubongo.

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 22, 2013

    MPAKA WAFIKE KWENYE MOTO BASI NYUMBA ISHAKUWA MAJIVU, PROSECUTE ALL THOSE WHO DO NOT PARK ASIDE ABD LET THE FIRE ENGINE PASS.

    ReplyDelete
  3. AnonymousMay 22, 2013

    Natambua ufinyu wa bajeti, vitendea kazi, watumishi na utaalamu. Mie tatizo langu ni Watanzania kutoheshimu magari haya ya huduma ya dharula,mfano zima moto na ambulance. Hivi ni lini tutaheshimu na kuyapa njia yapite.

    Nadhani wakati umefika wahusika watoe elimu ya namna gani tuyapishe magari haya. Jiulize unapolinyima njia gari la wagonjwa unakuwa unatambua mgonjwa gani anapelekwa hospitali...kama ni baba yako au mama au mwanao...je hautakuwa umeshiriki kumuua? Vivyo hivyo kwenye zimamoto.

    Wakati umefika tubadilike

    ReplyDelete
  4. AnonymousMay 22, 2013

    Kweli Tanzanzania baaado kabisa, yaani hao wote walitakiwa kukaa pembeni, hivi kwanini hilo gari lisiwagonge lee mbali?

    ReplyDelete
  5. AnonymousMay 22, 2013

    swali langu hivi haya magari ya zima moto yanakaa umbali gani na jiji?

    ushauri wangu kungekuwepo na vituo visivyopungua hata 3 katitaki ya jiji na pembeni mwa jiji

    ushauri wa pili ni vyema sasa wahusika wa usalama wa barabarani wakatoa somo kwa kila mtanzania namna ya kuheshimu magari ya zimamoto na magari ya wagonjwa

    ni vyema unaposikia sauti ya gari la zimamoto au gari la wagonjwa ni vyema kusimama hapohapo ulipo na kusubiri mpaka magari hayo yapite

    hivyo ndivyo tunavyotumia huku ughaibuni ukisikia magari hayo basi unasimama popote ulipo na kuyapisha yapite na badae unaweza kuendelea na safari zako.

    ReplyDelete
  6. Hapa kuna mambo mawili:
    1. Vituo za zimamoto ni vichache, hivyo basi umbali wanaoutumia kifika eneo la tukio ni mkumbwa mno.
    2. Bado watumiaji wa barabara hawaeliwi umuhimu wa kuyapisha haya magari ya dharula, hivyo ni muhimu waelimishwe, na baada ya hapo watozwe faini kama bado mambo ni yale yale.

    ReplyDelete
  7. AnonymousMay 22, 2013

    damn...yaaani mavumbi na kuchafu ile mbaya,hivi usafi kidogo tuu na na kuzibua hiyo mitaro inataka mzungu aje?na jinsi barabara ilivyo mbovu huyo mgonjwa akifika si mgongo umeisha...aibu tupu viongozi na wananchi jitahidini kusafisha jamani

    ReplyDelete
  8. AnonymousMay 22, 2013

    INASIKITISHA KAMA HAIUDHI MAANA HATA HAO FIREMAN WENYEWE HAWAJUI WAPI WANAKWENDA WANAULIZA WAPITA NJIA NA KAMA NYUMBA INAUNGUA SI WATAKUTA MAJIVU.

    ReplyDelete
  9. AnonymousMay 22, 2013

    What a joke? Nchi imeoza kiasi hiki? Barabara mbovu watu hawaheshimu vyombo vya usalama vurugu mtindo mmoja...Bado tuna safari ndefu.

    ReplyDelete
  10. AnonymousMay 22, 2013

    mdau wa tano hapo juu kwani hao madereva hawakufundishwa kupisha magari wakati wapo driving school? Umeandika wafundishwe je iwe mara ngapi? Hawafundishiki udereva bongo ni kila mtu anaamua anachotaka na huwezi fanya kitu! Kabla hujaingia barabarani unanolewa driving school hivyo wanajua kila kitu ni viburi tu.

    ReplyDelete
  11. AnonymousMay 22, 2013

    No laws are enforced in this country! Totally uncivilized! Nafikiri kungekuwa na taa ingesiadia! hao traffic watagongwa tu kila siku eti wao ndo taa! aibu kabisa! Ni mpaka sheria zitakapothibitiwa ndio tutabadilika! Hata ukimkamata dereva mzembe. Atatoa elfu moja kwa polisi njiani na ataachiwa tu! What a mess!

    ReplyDelete
  12. AnonymousMay 22, 2013

    hahahah amenikosha huyo aliyeulizwa umbali,how many meters? mzee likamtoka jibu,5 meters!!

    ReplyDelete
  13. AnonymousMay 23, 2013

    NCHI YANGU MASKINI TANZANIA! NA WATU WAKE!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...