Mkurugenzi Mtendaji wa
Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei akimkabidhi sehemu ya vifaa vya michezo vilivyotolewa na benki hiyo kupitia akaunti yake ya Tanzanite,
Mnadhimu Mkuu wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ), Luteni Jenerali Samwel
Ndomba kwa ajili ya wanajeshi wanaokwenda kulinda amani nchini Kongo. Hafla
hiyo ilifanyika Makao Makuu ya Jeshi Upanga jijini Dar es Salaam
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei akimkabidhi sehemu ya vifaa vya michezo, Mnadhimu Mkuu wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ), Luteni Jenerali Samwel Ndomba kwa ajili ya wanajeshi wanaokwenda kulinda amani nchini Kongo. Hafla hiyo ilifanyika Makao Makuu ya Jeshi Upanga jijini Dar es Salaam. Kwa habari na picha zaidi BOFYA HAPA
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...