Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Dk.Mohamed Shein,akizindua mbio za Mwenge wa uhuru Kitaifa kwa
kuuwasha huko Chokocho Wilaya ya Mkoani Mkoa wa Kusini Pemba
leo,(kulia) Waziri wa Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo Tanzania
Bara,Dk.Fenelle Mukangara,na Waziri wa Ustawi wa Jamii Maendeleo ya
Vijana Wanawake na Watoto Zanzibar Zainab Omar
Mohamed,(kushoto).
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Dk.Mohamed Shein,akizindua mbio za Mwenge wa uhuru Kitaifa
baada ya kuuwasha huko Chokocho Wilaya ya Mkoani Mkoa wa Kusini Pemba
leo,mbele ya maelfu ya wananchi wa Mkoa wa Kusini Pemba.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Dk.Mohamed Shein,akimkabidhi Mwenge wa Uhuru Kiongozi wa Mbio za
Mwenge Juma Ali Sima,(kushoto) kutoka Mkoa wa Kusini Unguja,baada
kuzindua rasmi mbio hizo Kitaifa huko Chokocho Wilaya ya Mkoani Mkoa
wa Kusini Pemba leo.Picha na Ramadhan Othman Ikulu.
This is another waste, do we really need this flame going around the country when people have no basics like food, housing and health facilities. Come on guys this mwenge busines is "zilipendwa" - focus on the real issues. Who pays for this flame to go around. The money served could build 1000 health centres that are urgently needed by the people. Forget about this mwenge busines it is a waste of time and scarce resources.
ReplyDelete