Home
Unlabelled
dogo katika biashara
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
hata kama na kudumaa, dogo hajafika 15, huyu motto ana kani ya miala kumi na kumi na miwili.
ReplyDeletemie naona kama ana miaka 10 vile. dah kweli hali ngumu nowdays!
ReplyDeleteMchangiaji wa kwanza mimi nilidhani umeguswa na ajira ya watoto au mustakbali wa huyo mtoto kimaisha.
ReplyDeleteKama hutaenda shule, hiyo ndo itakuwa shughuli zako milele, hatima yako itakuwa jela kwasababu utazaa hela za biashara hiyo unayofanya haitatosha ndipo utakapo amua kuiba. sikuombei mabaya huo nimwelekeo unaoonyesha mwenyewe.
ReplyDeletehuyu miaka tisa au kumi sio 15. Anatakiwa awe shule sio kufnay biashara.
ReplyDeletejamani maisha naisia imani sana nikiona vijana wadogo hivi wakihangaikia maisha ... bado hawajafikia kiwango hiki wanahitaji wapate elimu bora jamani hivi nyinyi viongozi hamuoni kua vijana wa kesho hawa wa kujenga taifa letu kama wanahitaji msaada wa elimu kama watoto wenuuuuu ???
ReplyDelete