
Meneja Uhusiano wa MultiChoice Tanzania, Barbara Kambogi akizungumza maneno machache muda mfupi kabla ya kuanza kwa Show ya Big Brother The Chase 2013 usiku huu pale kwenye Kiota cha Maraha cha Samaki Samaki kilichopo maeneo ya katikati ya Jiji la Dar es salaam,ambapo wadau mbali mbali walihudhulia hafla hiyo.
Kabla ya kuanza uzinduzi wa Show ya Big Brother The Chase 2013 usiku huu pale kwenye Kiota cha Maraha cha Samaki Samaki kilichopo maeneo ya katikati ya Jiji la Dar es salaam,ilichezeshwa bahati nasibu ndogo iliyompelekea mdau huyu (kushoto) kuibuka na Tablat mpya kabisa.kulia ni Mshereheshaji wa hafla hiyo,Millard Ayo.
Msanii wa Muziki wa Kizazi kipya nchini,Ambwene Yessaya a.k.a AY akisoma kikaratasi wakati akimtaja mshindi wa bahati nasibu ya shilingi laki moja.

Wadau wakiwakilisha ndani ya Samaki Samaki,toka shoto ni Missie Populer,Othman,B12,Jimmy,Mdau pamoja na Kajunason.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...