Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO)Assah Mwambene (kushoto) akimkabidhi zawadi ya jiko la umeme na gesi iliyotolewa na wafanyakazi wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo kwa Afisa Habari Georgina Misama baada ya kufunga ndoa hivi karibuni.Nyuma yao (kulia) ni Mkurugenzi Msaidizi Uratibu Jamali Zuberi na Mkurugenzi Msaidizi Usajili wa Magazeti Raphael Hokororo (kushoto).
Afisa Habari Mkuu,Mwanakombo Jumaa akimkabidhi Afisa Habari Georgina Misama , kadi ya pongezi kwa kufunga ndoa hivi karibuni, kwa niaba ya wafanyakazi wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo. Picha na Hassan Silayo-MAELEZO.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...