Jaji Mkuu wa Tanzania,Mhe. Mohamed Chande Othman akisalimiana na mmoja wa Maafisa wa Mahakama Mara alipowasili Katika ziara ya kikazi mkoani Mbeya leo, katikati ni Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu Kanda ya Mbeya, Mhe. Jaji Noel Chocha.
Jaji Mkuu wa Tanzania, Mhe. Mohamed Chande Othman akisalimiana na mmoja wa maofisa wa polisi waliokuja kumpokea Katika Uwanja wa Ndege wa Songwe jijini Mbeya, Mhe Jaji Mkuu amewasili mkoani Mbeya Katika ziara ya kikazi ya kutembelea Mahakama mkoani Mbeya. Picha na Mary Gwera

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...