Viatu vinavyoundwa kutokana na Mabaki ya Magurudumu ya Magari maarufu kwa jina la Kata Mbuga,vikiwa sokoni kusubiria wateja.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 6 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 05, 2013

    Du! mnaturudisha enzi za nyerere tena!

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 05, 2013

    kule kwetu leka dutigite enzi zile tulikuwa tunaviita hivyo vi kata mbuga kwa jila la Mkwabho!!

    ReplyDelete
  3. AnonymousMay 05, 2013

    Vinalingana kabisa na taniz nchi yetu; ila tu waboreshe kamba zake!

    ReplyDelete
  4. AnonymousMay 06, 2013

    Kwetu tunaviita MASENDEU. But nowadays naona vipo kwenye 'trend' hakuna kujivunga kama enzi hizo.

    ReplyDelete
  5. AnonymousMay 06, 2013

    Acha tu baba yangu alipofika miaka 72 akapata allergy ya viatu. The only shoes anavyoweza vaa bila kupata malengelenge na kuvimba miguu ni hivi viatu vya matairi. Asante Mungu bado vinatengenezwa manake sijui ingekuaje!

    ReplyDelete
  6. AnonymousMay 07, 2013

    HALAFU TANZANIA TAMBARARE HA HAHA HA

    BADO HAMSINI KWEUSI MAFISADI WANAPANGA NJAMA YA KUTUFUNDISHA TUWE NA UTAMADUNI WA KURIPUANA HALAFU MAISHA NDO YAHAYA YA KUVAA KATAMBUGAA KWELI WATANZANIA MUNGU AKUSAIDIYENI MUWEZE FIKA KATIKA UFALME WAKE

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...