Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akihutubia maelfu ya wananchi katika mkutano wa hadhara wa CCM, kwenye Uwanja wa mpira mjini Ludewa mkoni Njombe, leo Mei 28, 2013. Kinana ambaye yupo katika ziara ya siku saba, kukagua utekelezaji wa ilani ya chama na kuzungumza na wananchi mkoani Njombe, amefuatana na Katiobu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye.

Baadhi ya maelfu ya wananchi waliohudhuria mkutano wa hadhara wa CCM uliofanyika Mei 28, 2013 katika Uwanja wa mpira mjini Ludewa mkoani Njombe.
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana na ujumbe wake wakiwasili kwenye mkutano wa hadhara wa CCM, katika Uwanja wa mpira mjini Ludewa mkoni Njombe, leo May 28, 2013. Kinana ambaye yupo katika ziara ya siku saba, kukagua utekelezaji wa ilani ya chama na kuzungumza na wananchi mkoani Njombe, amefuatana na Katiobu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye.
Baadhi ya wakazi wa Wilaya ya Ludewa na Vitongoji vyake wakiwa wamejitokeza kwa wingi kwenye mkutano wa hadhara wa CCM, uliofanyika  katika Uwanja wa mpira mjini Ludewa mkoni Njombe, leo Mei 28, 2013. 
Sehemu ya umati wa watu wakishangilia jambo wakati Nduhu Kinana alipokuwa akizungumza kwenye mkutano wa hadhara wa CCM, katika Uwanja wa mpira mjini Ludewa mkoni Njombe, leo Mei 28, 2013.
Mbunge wa Jimbo la Ludewa Mh.Deo Filikujombe akizungumza na wananchi  wa Ludewa na vitongoji vyake waliofika kwenye mkutano wa hadhara wa CCM, katika Uwanja wa mpira mjini Ludewa mkoni Njombe, leo May 28, 2013.
3Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi wa CCM Ndugu Nape Nnauye akihutubia wananchi katika mkutano wa hadhara uliofanyika leo kwenye uwanja wa mpira wa mjini Ludewa .
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akizungumza na wanachama wa shina la CCM tawi la Itunda kata ya Malangali mapema leo,alipotembelea mashina kadhaa kwa kuzungumza nao mambo mbalimbali ya kuimarisha chama.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...